MASIKINI WEMA SEPETU

Miss Tanzania 2006 na mwigizaji maarufu nchini alipatwa na tukio la kusikitisha la kuibiwa  pete yake ya dhahabu katika uzinduzi wa filamu ya kigodoro pale Dar live.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea wakat star huyo akiwapa  mkono mashabiki wake akiwa stejin. kwa mujibu wa reality show yake ya IN MY SHOES.
Pole zangu za dhati kwa mrembo HUYU , natumain atanunua mpya na hatozivaa tena stejini.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

10 Celebs Who Killed Their Careers After Dissing Beyonce

65 Home Business Ideas You Can Do From Your Kitchen Table

Top 7 Must Watch Tv Shows about Money and Business