Baada ya kuibuka na Tuzo ya AFRIMMA, Lady Jaydee kutua Bongo August 3
Amesema Lady Jay Dee yuko Marekani alikuwa ameenda kwa ajili ya likizo au mapumziko.
Tuzo hiyo
ya AFRIMMA imekuwa tuzo ya 30 kwa muimbaji huyo, idadi hiyo ilifahamika
rasmi baada ya kuandika ujumbe wa shukurani kwa mashabiki wake.Courtesy:matukio na vijana
Comments
Post a Comment