TUCHEKE KIDOGO
Kuna
mzungu alikuwa anakunywa fanta baada ya kumalza akasema this fanta is
fantastic kumbe kulikuwa na mbongo alikuwa pemben akimickilza huku akiwa
anakunywa uji na yy asionekane mshamba alivyomalza akasema this uji is
ujistic.......?
*.*.*.*
Mlevi anarudi na rafiki yake mgeni nyumbani kwake na kuanza kumuelekeza hii ni nyumba yangu na lile ni gari langu, wakaingia ndani wanalikuta njemba limelala na mke wa mlevi bila wasiwasi mlevi akaendelea kuelekeza kile ni kitanda changu, yule ni mke wangu na yule aliyelala naye ni MIMI. .*.*.*
Jamaa kakosea,baada ya msg kutuma kwa hawara katuma kwa mama mkwe! ilikuwa inasema,''Mi nakupenda nimevumilia nimeshindwa nimeona nikwambie ya moyoni,naomba tuwe wapenzi mke wangu hawezi kujua'''Wakati anatafakari atafanyaje jibu likaja kutoka kwa mama mkwe ''nami nakupenda,ungechelewa ningekwambia mimi,maana huwa ukiwa na mwanangu mi ndo nadata mpenzi,leo usiku uje'....dah
Welcome to 24tz
*.*.*.*
Mlevi anarudi na rafiki yake mgeni nyumbani kwake na kuanza kumuelekeza hii ni nyumba yangu na lile ni gari langu, wakaingia ndani wanalikuta njemba limelala na mke wa mlevi bila wasiwasi mlevi akaendelea kuelekeza kile ni kitanda changu, yule ni mke wangu na yule aliyelala naye ni MIMI. .*.*.*
Jamaa kakosea,baada ya msg kutuma kwa hawara katuma kwa mama mkwe! ilikuwa inasema,''Mi nakupenda nimevumilia nimeshindwa nimeona nikwambie ya moyoni,naomba tuwe wapenzi mke wangu hawezi kujua'''Wakati anatafakari atafanyaje jibu likaja kutoka kwa mama mkwe ''nami nakupenda,ungechelewa ningekwambia mimi,maana huwa ukiwa na mwanangu mi ndo nadata mpenzi,leo usiku uje'....dah
Welcome to 24tz
Comments
Post a Comment