SIMONE BATTLE WA X FACTOR AKUTWA AMAFARIKI
Simone Battle ambae alikua ni mshiriki kwenye shindano la X Factor mwaka 2011 na vilevile mwimbaji kutoka kundi la waimbaji wa kike la G.R.L amekutwa amefariki nyumbani kwake Los Angeles Marekani.
Bado chanzo cha kifo chake hakijasemwa lakini uchunguzi unaendelea zaidi kujua ni nini kilitokea na wala hakuna taarifa za ziada zilizotolewa zaidi ya hii ya kusema amekutwa amefariki nyumbani kwake.
Don’t Forget to Like us on Facebook and Follow us on Instagram
Don’t Forget to Like us on Facebook and Follow us on Instagram
Comments
Post a Comment