MCHUNGAJI ALIYEWALISHA WAUMINI MAJANI AJA NA MPYA..SASA AWAPONYA WAGONJWA KWA KUWAKANYAGA KANYAGA

Yule Pastor Mwenye Vituko Vingi Kutoka South Afrika anayejulikana kwa jina la Lesego Daniel amekuja na Mpya baada ya kuwalisha majani waumini na kubadilisha petrol kuwa Juice ya Apple , Sasa eti anawaponya Waumini wake ambao wanasumbuliwa na magonjwa kwa kuwakanyaga migongoni... AngaliaPicha Hapo Juu

Comments

Popular posts from this blog

10 Celebs Who Killed Their Careers After Dissing Beyonce

This List of Infographics About Achieving Success Will Surely Inspire You

Top 7 Must Watch Tv Shows about Money and Business