MCHUNGAJI ALIYEWALISHA WAUMINI MAJANI AJA NA MPYA..SASA AWAPONYA WAGONJWA KWA KUWAKANYAGA KANYAGA
Yule
Pastor Mwenye Vituko Vingi Kutoka South Afrika anayejulikana kwa jina la
Lesego Daniel amekuja na Mpya baada ya kuwalisha majani waumini na
kubadilisha petrol kuwa Juice ya Apple , Sasa eti anawaponya Waumini
wake ambao wanasumbuliwa na magonjwa kwa kuwakanyaga migongoni... AngaliaPicha Hapo Juu
Comments
Post a Comment