MWANAMKE ALIYESHINDA KITI CHA URAISI KWA MARA YA PILI
Mwanamke wa kwanza kushika wadhifa wa urais nchini Brazil 2011, Diana
 Rousseff amechaguliwa tena kushika wadhifa huo katika uchaguzi mkuu 
uliofanyika siku ya Jumapili Oktoba 25 nchini humo.Baada ya kutangazwa 
kushinda katika kinyang’anyiro hicho, Rousseff mwenye umri wa miaka 66 
amesema anahitaji kufanya vizuri katika awamu hii ya uongozi wake huku 
akisifia jitihada zake na rais aliyemtangulia Luiz Inacaio Da Silva kuwa
 katika vipindi vyao vya uongozi wametatua tatizo la ajira kwa kiasi 
kikubwa. 
Rousseff ameshinda kwa 51.59% ambapo mpinzani wake Aecio Neves amepata kura 48.41%

Comments
Post a Comment