BIASHARA AMBAZO ZINAWEZA KUANZISHWA NA MTAJI MDOGO AU BILA MTAJI KABISA

  1. Kuosha magari (Car Wash)
  2. Blogging
  3. Urembaji wa keki (Cake decorating)
  4. Utengenezaji mishumaa
  5. Mama Ntilie (Catering)
  6. Kutembeza vyakula maofisini (Mobile food vendor)
  7. Kazi ya usafi maofisini (kama mkiwa mmejikusanya kama kikundi)
  8. Computer troubleshooting (kwa graduates wa IT, Computer technicians)
  9. Event coordinator
  10. Kutumbuiza kwenye matukio kama DJ (Event DJing)
  11. Exercise/Sports instructor (wengi wanahitaji huduma hii)
  12. Utengenezaji wa fenicha
  13. Utunzaji wa bustani (Gardening, Landscaping etc)
  14. Usafishaji wa nyumba mtaani (House cleaning)
  15. Interior decorating (naona wengine hadi wanajiita 'interior designers')
  16. Kusaidia watu kubeba mizigo wakitoka kwenye manunuzi (Personal shopping assistant)
  17. Uuzaji wa nafaka/mazao toka kwa wakulima mikoani (wanahitaji kiunganishi na wateja wa mijini)
  18. Usahihishaji wa lugha/maandishi kwenye ofisi mbalimbali pamoja na vyombo vya habari (Proofreading)
  19. Kuwa MC kwenye matukio mbalimbali (Unatakiwa kusoma vitabu vya Public speaking zaidi)
  20. Kutengeneza sabuni (Soap making)
  21. Kufundisha (Teaching); hapa namaanisha kila mtu ana kitu anafahamu ambacho anaweza kuwa mwalimu mzuri
  22. Website design (kama ulisomea mambo ya graphics n.k)
  23. Software developer (kama umesomea software engineering n.k)
  24. Wedding planner/Event Cordinator

 Kama kuna nyingine tunaweza saidiana katika kuziongezea ili kuongeza maarifa na kupunguza utegemezi na umasikini.
                                           Courtesy:JF

Comments

Popular posts from this blog

10 Celebs Who Killed Their Careers After Dissing Beyonce

RUGE MUTAHABA IN A LOVE TRIANGLE

TOP TEN PRIVATE JETS