MAMA SITTI AKANA MWANAYE SITTI MTEMVU KUJIVUA TAJI

Mama wa mrembo huyo, alisema ameshtushwa na taarifa za mwanaye kujiuzulu na kusema si za kweli, kwani kama angepanga kufanya hivyo asingefanya kwa kificho, badala yake angeitisha mkutao na wanahabari: “Hawezi kujiuzulu kienyeji hivyo na hata mimi mama yake sina taarifa hizo, hayo ni matumizi mabaya ya mitandao

Comments

Popular posts from this blog

10 Celebs Who Killed Their Careers After Dissing Beyonce

RUGE MUTAHABA IN A LOVE TRIANGLE

TOP TEN PRIVATE JETS